Kamanda wa Polisi wilaya ya Moshi, Hendry Mwakabonga, Mgeni Rasmi, Katibu Tawala mkoa wa Kilimanjaro, Faisal Issa pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya usalama barabani, Christopher Lyimo, wakishiriki kuimba wimbo wa Taifa.
Kamanda wa Polisi wa wilaya ya Moshi, Hendry Nguvumali akisoma risala ya Kamati ya usalama barabarani kwa niaba ya Katibu wa Kamati hiyo, Kamanda wa usalama Barabarani mkoa wa Kilimanjaro, Joseph Mwakabonga.
Mwenyekiti wa Kamati ya usalama barabarani mkoani Kilimanjaro, Christopher Lyimo akimkabidhi zawadi mgeni Rasmi, Katibu Tawala wa mkoa huo, Dk. Faisal Issa.
No comments:
Post a Comment