Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama Asha Bilal akitoa hotuba yake wakati alipokuwa Mgeni Rasmi kwenye hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever kwa Afrika Mashariki,Marc Engel akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja wa Kampuni ya Unilever Tanzania,Teresia Kamweru akitoa shukrani zake kwa Mgeni Rasmi na Wadau mbali mbai walioshiriki kwenye hafla hiyo ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Silaa akizungumza machache wakati akimkaribisha mgeni rasmi kuja kuzindua Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.

Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama Asha Bilal akipokea zawadi ya picha ya mchoro kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever kwa Afrika Mashariki,Marc Engel mara baada ya Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
MC Taji Liundi a.k.a Master T akiongoza hafla hiyo.
Warembo wakiwa na mfano wa Sabuni ya OMO FastAction wakati wa Uzinduzi wa Sabuni ya kufulia ya OMO FastAction uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.

Meza Kuu.
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever kwa Afrika Mashariki,Marc Engel akiteta jambo na Meneja Masoko na Huduma kwa Wateja wa Kampuni ya Unilever Tanzania,Teresia Kamweru .
Mtaalam wa Bidhaa kutoka Kampuni ya Unilever,Gideon Rono (wa pili kulia) akifanya Demo ya Sabauni hiyo ya OMO FastAction wakati wa Uzinduzi wake uliofanyika rasmi leo kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Unilever Tanzania wakiwa kwenye hafla hiyo.
kikundi cha Ngoma cha Safi Kidds Dancers kikitoa burudani.
Mama OMO akiwa na mwanae aliechafuka kupindukia.
Baadhi ya Kinamama kutoka vikundi mbali waliohudhulia hafla hiyo.


















No comments:
Post a Comment