HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, August 17, 2014

Musoma Veterani mabingwa Castle Lager Perfect Six kitaifa

Meya wa Kinondoni, Mstahiki Yusuf Mwenda akimkabidhi (kushoto) akimkabidhi kapteni wa timu ya Musoma A Veterani, Ramadhani Magoe mfano wa tiketi ya ndege kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou, Barcelona baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa mashindano ya Castle Lager Perfect 6 kitaifa katika fainali hizo zilizochezwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. Kwa hisani ya Castle Lager, mabingwa hao watasafiri mwezi kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou unaomilikiwa na FC Barcelona huko Hispania.
Kapteni wa timu ya Musoma A Veterani, Ramadhani Magoe akionyesha mfano wa tiketi ya ndege kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou, Barcelona baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa mashindano ya Castle Lager Perfect 6 kitaifa katika fainali hizo zilizochezwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. Kwa hisani ya Castle Lager, mabingwa hao watasafiri mwezi kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou unaomilikiwa na FC Barcelona huko Hispania.
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Buttallah (kushoto), Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, Kushilla Thomas (wa pili kushoto) na Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda wakimkabidhi kapteni wa timu ya Musoma A Veterani, Ramadhani Magoe kombe baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa mashindano ya Castle Lager Perfect 6 kitaifa katika fainali hizo zilizochezwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. Kwa hisani ya Castle Lager, mabingwa hao watasafiri mwezi kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou unaomilikiwa na FC Barcelona huko Hispania.
Kapteni wa Musoma A Veterani, Ramadhani Magoe (aliyebeba kombe) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa mashindano ya Castle Lager Perfect 6 kitaifa katika fainali hizo zilizochezwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. Kwa hisani ya Castle Lager, mabingwa hao watasafiri mwezi kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou unaomilikiwa na FC Barcelona huko Hispania.
Kapteni wa Musoma A Veterani, Ramadhani Magoe (aliyebeba kombe) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa mashindano ya Castle Lager Perfect 6 kitaifa katika fainali hizo zilizochezwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. Kwa hisani ya Castle Lager, mabingwa hao watasafiri mwezi kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou unaomilikiwa na FC Barcelona huko Hispania. Waliosimama kuanzia kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Fimbo Buttallah (kushoto), Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, Kushilla Thomas na Meneja wa Castle Lager, Kabula Nshimo.
Kapteni wa Musoma A Veterani, Ramadhani Magoe (aliyebeba kombe) akishangilia na wachezaji wenzake baada ya timu yake kutwaa ubingwa wa mashindano ya Castle Lager Perfect 6 kitaifa katika fainali hizo zilizochezwa kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. Kwa hisani ya Castle Lager, mabingwa hao watasafiri mwezi kwenda kutembelea uwanja wa Camp Nou unaomilikiwa na FC Barcelona huko Hispania.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad