HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 29, 2014

MKOMBOZI BENKI YASHEREKEA KUTIMIZA MIAKA 5 TOKEA IMEANZISHWA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe akiongea na waandishi wa habari waliofika katika hafla ya benki hiyo kufikisha miaka mitano tokea imeanzishwa. Aliongeza kuwa benki hiyo ilianzishwa kwa lengo la kutoa huduma za kibenki sanjari na kushughulika na matatizo ya kiuchumi kwa jamii katika nyanja mbalimbali.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Edwina Lupembe akikazi msisitizo mbaye ya waandishi wa habari.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki Mkombozi Commercial, Edwina Lupembe akiwatambulisha mbele ya wageni waalikwa na wafanyakazi, watoto wanaosomeshwa na benki hiyo.
Mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.
Wafanyakazi wa benki hiyo wakifuatilia kwa makini. 
Hii ilikuwa ndiyo njia sahihi ya kutambuana.
Muda wa chakula.
Bendi iikiendele kutoa burudani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad