Madereva wa magari jijini Dar wameamua kubadirisha utaratibu wa kutumia njia tatu katika barabara ya Bagamoyo Road kwa kuamua kupishana kwa namna yake,pichani ni moja ya Daladala likipishana na Rav4 kwa staili ya kulia kushoto katika eneo la Makumbusho jijini Dar.
Saturday, August 16, 2014

Home
Unlabelled
MATUMIZI YA NJIA TATU KATIKA BARABARA YA BAGAMOYO ROAD JIJINI DAR
MATUMIZI YA NJIA TATU KATIKA BARABARA YA BAGAMOYO ROAD JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment