HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 4, 2014

KWA HALI HII AJALI ZA BARABARANI ZITAMALIZIKA KWELIIIII???

Basi la kamwana express likilipita lori kwa mwendo kasi karibu na eneo la Chalinze mkoani Pwani huku dereva huyo akijua sheria za bararani kuwa ni marufuku kulipita gari nyingine akijua wazikuwa mbele kunagari inakuja hatua ambayo inasababisha usalama wa abiria na raia kwa ujumla. Picha na Benjamin Sawe Wizara ya Habari.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad