Basi la kamwana express likilipita lori kwa mwendo kasi karibu na eneo la Chalinze mkoani Pwani huku dereva huyo akijua sheria za bararani kuwa ni marufuku kulipita gari nyingine akijua wazikuwa mbele kunagari inakuja hatua ambayo inasababisha usalama wa abiria na raia kwa ujumla. Picha na Benjamin Sawe Wizara ya Habari.
Monday, August 4, 2014
Home
Unlabelled
KWA HALI HII AJALI ZA BARABARANI ZITAMALIZIKA KWELIIIII???
KWA HALI HII AJALI ZA BARABARANI ZITAMALIZIKA KWELIIIII???
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment