HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 28, 2014

HEPI BESDEIII ZA KUZALIA ANKAL MICHUZI

Leo ni siku kumbukumbu ya kuzaliwa Mwanalibeneke nguli hapa nchini na Mmiliki wa Globu ya Jamii,Ankal Muhidin Issa Michuzi.Libeneke hili na timu yake nzima inamtakia kila la kheri la maisha marefu Mkali huyu Taswira adimu,Mwanzilishi wa Libeneke la Kimatumbi,Mwalimu wa Walimu,Mshkaji na Rafiki wa kila mtu.

Hepii Besdeiii Ankal.......

1 comment:

Post Bottom Ad