HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 21, 2014

Flightlink waleta ndege nyingine nchini

Ndege ya Kampuni ya Flightlink iliyowasili nchini hivi karibuni,ikiwa imeegeshwa katika eneo lake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius K. Nyerere jijini Dar es salaam.Ndege hii aina ya Embraer 120 inauwezo wa kubeba abiria 30 na itakuwa ikifanya safari zake katika Mikoa ya Dar es salaam, Dodoma, Zanzibar,Arusha na Pemba.
Muonekano wa siti ndani ya Ndege hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad