HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 22, 2014

WATU WANANE WAKIWEMO MADAKTARI WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KUTOKANA NA KUTUPWA VIUNGO VYA BINADAMU KATIKA BONDE LA MBWENI MPIJI

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. 
Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.

Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad