HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 26, 2014

watoto wakifanya yao mtaani

 Hivi karibuni,Kamera ya Mtaa kwa Mtaa iliangazia maeneo ya Tabata katika moja ya mtaa na kuwakuta watoto hawa wakiwa bizee katika mchezo wao huku wakichezea maji yaliyotuama katika sehemu ya Mtaa huo kama waonekanavyo pichani hapa.
Kamera man wetu aliendelea kusogea walipo watoto hao.
 Na mwisho wakamuona akiwalamba pichazzz na wao wakapatwa na mshangao huku mwingine akionyesha tabasamu la nguvu.aliwaamuru watoto hao kuacha mara moja kuchezea maji hayo na wao wakafanya hivyo na kuendelea na michezo yao mingine.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad