HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 17, 2014

LORI LA MIZIGO LAGONGA KILABU CHA POMBE NA KUUA WATU WATANO PAPO HAPO

 Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
 Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea
 Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyo uwa wata watano papo hapo.
 Hivi ndivyo Lori hilo la Mizigo lilivyo umia vibaya baada ya kugonga kirabu hicho na kukisambalatisha usiku wa kuamkia jana na kusababisha vifo vya watu watano papo hapo.
 Baadhi ya Ndugu wa Marehemu wakipata taarifa za Ajali hiyo katika eneo la tukio isimila
Ndugu wa Marehemu wakiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa kwa ajili ya kuwaona Marehem hao.

Picha zote na Iringa Yetu Blog

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad