HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 22, 2014

NHIF na huduma bora Wiki ya Utumishi wa Umma

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Hamis Mdee akitoa maelekezo kwa Maofisa wa Mfuko huo katika maonesho ya maadhimisho ya Wiki ya Utumishi kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja.
Maofisa wa Mfuko katika banda la NHIF kitengo cha Usajili wa wanachama wakiendelea na uhakiki wa nyaraka kwa ajili ya vitambulisho.
Wadau waliotembelea banda la NHIF wakipatiwa huduma.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Hamis Mdee akitaka ufafanuzi wa jambo katika banda la Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA).
Kaimu Mkurugenzi Mkuu katika picha ya pamoja na watumishi wa Mfuko walioko kwenye maonesho hayo.
Bw. Mdee pia alipata fursa ya kutembelea banda la GEPF.
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti Raphael Mwamoto akifafanua jambo kwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad