HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 15, 2014

Tume ya Haki za Binadamu na Utwala Bora yazindua taarifa ya ukaguzi wa vyombo vya dola dhidi ya watoto

Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akitoa hotuba ya uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa Magereza na sehemu walimozuiliwa watoto pamija na nyezo za ufuatiliaji wa hali na haki za watoto hao, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora zilizo mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es salaam.
Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju (wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa Magereza na sehemu walimozuiliwa watoto pamoja na nyezo za ufuatiliaji wa hali na haki za watoto hao leo jijini Dar es salaam, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (wa kwanza kulia) na wa pili kulia ni mwakilishi wa UNICEF nchini na Mkuu wa Idara ya kutetea Haki za Watoto Birgithe Lund-Henriksen.
Pix No.03. Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju (katikati) akionesha taarifa ya ukaguzi wa Magereza na sehemu walimozuiliwa watoto pamoja na nyezo za ufuatiliaji wa hali na haki za watoto mara baada ya uzinduzi huo leo jijini Dar es salaam, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Amiri Manento na wa pili kulia ni mwakilishi wa UNICEF nchini na Mkuu wa Idara ya kutetea Haki za Watoto Birgithe Lund-Henriksen.
Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju (kushoto) akiteta jambo na Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mary Massay wakati wa uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa Magereza na sehemu walimozuiliwa watoto pamoja na nyezo za ufuatiliaji wa hali na haki za watoto hao hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi za Tume hiyo zilizopo mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Amiri Manento (kushoto) akitoa neno kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju (kulia) juu ya taarifa ya ukaguzi wa magereza, vituo vya polisi, mahabusi za watoto na shule ya maadilisho.
Kamishna Msaidizi wa Magereza makao makuu (ACP) George Mwambashi akitoa ufafanuzi juu ya namna magereza zilivyotenganisha selo za watoto na za watu wazima nchini.
Picha ya pamoja ya wajumbe waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa taarifa ya ukaguzi wa Magereza na sehemu walimozuiliwa watoto pamoja na nyezo za ufuatiliaji wa hali na haki za watoto hao katika ukumbi wa Ofisi za Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora zilizo mtaa wa Luthuli leo jijini Dar (Picha zote na Eleuteri Mangi- Maelezo)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad