Dada Pily Mpenda na familia yake wakishirikiana na Familia ya Kiwanga wote wa Jijini Dar es Salaam,wanapenda kuwakaribisha katika Hitma ya binti yao mpendwa ULLY HARUN KIWANGA itakayosomwa siku ya Jumamosi tarehe 19.04.3014 Saa 7.00 mchana nyumbani kwako Kinondoni Block 41 karibu na shule ya msingi Kumbukumbu.
Wote mnakaribishwa.
WABILLAH TAWFIQ
No comments:
Post a Comment