RATIBA YA MAZISHI YA MAMA BERNADA ALOYCE NJELEKELA (26 NOV 1933 – 14 APRILI 2014)
SIKU YA JUMATANO, 16 APRILI 2014
TUMSIFU MARIA ENYI WANAWE
1. Tumsifu Maria enyi wanawe
Tumtolee salamu tumshangilie
Salaam, Salaam, salaam Maria
Salaam Salaam Salaam Maria
2.Katika uwingu ni mfalme mkuu
Mwondoa hatari mama wa Mungu
Salaam, Salaam, salaam Maria
Salaam Salaam Salaam Maria
3. Hatuna Mwombezi aombeae
Kwa Mungu mwenyezi kuliko wewe
Salaam, Salaam, salaam Maria
Salaam Salaam Salaam Maria
4. Nyota ya Bahari, Mlango wa Mbingu
Mwondoa hatari mama wa Mungu
Salaam, Salaam, salaam Maria
Salaam Salaam Salaam Maria
No comments:
Post a Comment