Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza wakikagua athari za mafuriko zilizoharibu vibaya barabara ya Chalinze- Dar es Salaam eneo la Ruvu Darajani leo.Mamia ya abiria walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko hayo(picha na Freddy Maro)
Sunday, April 13, 2014

Home
Unlabelled
Rais Kikwete atembelea maeneo yaliyokumbwa na mafuriko Mkoa wa Pwani
Rais Kikwete atembelea maeneo yaliyokumbwa na mafuriko Mkoa wa Pwani
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na Mkewe Mama Salma Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza wakikagua athari za mafuriko zilizoharibu vibaya barabara ya Chalinze- Dar es Salaam eneo la Ruvu Darajani leo.Mamia ya abiria walikuwa wamekwama kutokana na mafuriko hayo(picha na Freddy Maro)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment