HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 17, 2014

WAZIRI WA MAJI AZINDUA RASIMI WIKI YA MAJI KITAIFA MKOANI DODOMA

 Waziri wa Maji  Profesa Jumanne Maghembe akipata maelezo kutoka kwa mtalamu kutoka nchini Australia Eng Johann Fabach kuhusu bomba lililotengenezwa kwa teknolojia ya kisasa nchini Australia ambalo haliharibiki kwa urahisi wala kupata kutu. Kushoto  ni mkurugenzi msaidizi  Prima Business ya nchini Australia Bibi Annastella Baradyana. Maonesho hayo yanafanyika katika uwanja wa Jamuhuri Mjini Dodoma Picha na Chris Mfinanga

Ofisa Habari wa Dawasa Bi. Neli Msuya akitoa maelezo kwa waziri wa Maji  Profesa Jumanne Maghembe kuhusu shughuli zinazofanywa na Dawasa 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad