HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, March 1, 2014

wananchi mkoani Dodoma wapatiwa elimu ya virutubishi

Mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini,Bwana Lephy Gembe akiwasili katika kata ya Mpunguzi katika shughuli za uhamasishaji wa kutumia vyakula vyenye virutubushi ambao unafanywa na USAID kupitia mradi wake wa Tuboreshe Chakula.
Mkurugenzi Mkazi wa mradi wa Tuboreshe Chakula,Unaofadhiliwa na Shirika la misaada la watu wa marekani USAID,Bi. Rebecca Savoie katikati,akitoa paketi ya unga wa uji uliochanganywa na virutubishi kwa mmoja wa wakazi wa kata ya Mpunguzi aliyehudhuria uhamasishaji wa lishe kwenye kata hiyo.
Mkurugenzi Mkazi wa mradi wa Tuboreshe Chakula,Unaofadhiliwa na Shirika la misaada la watu wa marekani USAID Bi Rebecca Savoie katikati,na maofisa wenzake kutoka mradi huo wakifurahi na wananchi wa Mpunguzi kwa kupiga makofi wakati wa uzinduzi wa kampeni ya lishe kwenye kata hiyo leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad