HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 1, 2014

WAZIRI WILLIAM MGIMWA HATUNAE TENA,AFARIKI DUNIA NCHINI AFRIKA KUSINI LEO

Taarifa ya kuaminika iliyotufikia hivi Punde toka nchini Afrika Kunisi,inaeleza kuwa Waziri wa Fedha,Dkt. William Mgimwa (pichani) amefariki Dunia mchana wa leo katika Hospitali ya Mediclinic Kloff,alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Mh. Mgimwa alikuwa akisumbuliwa na Maradhi ya Presha ambayo yalikuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

Mungu aiweke mahala pema peponi roho yake

Amin.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad