HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 21, 2014

wabunge wanawake Tanzania watembelea ofisi za ubalozi mjini London

Mhe. Balozi wa Uingereza Peter Kalaghe (katikati mwenye suti) akiwa na wah. Wabunge Wanawake wakiongozwa na Mwenyekiti wa TWPG mama Anna Abdallah (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa TWPG Dk. Mary MWANJELWA-walipotembelea ofisi ya Ubalozi huo Mjini London tar. 19/1/2014. Ujumbe huo upo nchini Uingereza kwa mwaliko wa Bunge la nchi hiyo-CPA kwa mafunzo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad