HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 8, 2014

TAARIFA ZA MSIBA WA NDG. ALLAN DASTAN BENDERA

FRANCIS DASTAN BENDERA
Ndugu Allan Dastan Bendera mwana Diaspora wa Italy na mjumbe wa Jumuiya ya Watanzania Italy anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake pichani Francis Dastan Bendera, kilichotokea jana tarehe 6/01/2014 katika hospitali ya Muhimbili Dar Es Salaam Tanzania.

Marehemu alikuwa amelazwa katika hospitali ya Muhimbili baada ya kupata ajali ya bus la BURUDANI lililokuwa likitokea Korogwe kwenda Dar Es Salaam .

Ajali hiyo ilitokea  Disemba 12 mwaka huu majira ya saa 1.30 asubuhi  katika Barabara Kuu ya Segera Chalinze  eneo la Kwaluguru Kata ya Kwedizinga  wilayani ya Handeni.

Mazishi yatafanyika kesho tarehe 08/01/2014 nyumbani kwao Korogwe.
Basi la Burudani alilopata nalo ajali marehemu Francis Dastan Bendera

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad