HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 16, 2014

RAIS KIKWETE AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA JAJI GEORGE LIUNDI KARIMJEE JIJINI DAR LEO

 Rais Jakaya Kikwete, akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa marehemu, George Liundi wakati wa shughuli za kuagwa mwili huo zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif, wakitoa heshima za miwsho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu George Liundi, wakati wa shughuli za kuagwa mwili huo zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo. Kulia ni Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa, akielekea kutoa heshim za mwisho

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif, wakitoa heshima za miwsho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu George Liundi, wakati wa shughuli za kuagwa mwili huo zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo. Kulia ni Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa, akielekea kutoa heshim za mwisho
 Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya, Jaji Joseph Warioba, Makamu mwenyekiti wa CCM Bara, Philp Mangula na Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu na Bunge) William Lukuvi, wakishiriki Misa maalum ya kumuombea marehemu George Liundi, wakati wa shughuli za kuagwa mwili zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo
 Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif, na Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu na Bunge) William Lukuvi (kushoto) wakijumuika na waombolezaji  katika misa maalum ya kumuombea marehemu George Liundi, wakati wa shughuli za kuagwa mwili zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
 Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto) Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif, na Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu na Bunge) William Lukuvi (kushoto) wakitafakari msiba huo wakati wa shughuli za kuagwa mwili zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam leo.

BOFYA READ MORE HAPO CHINI KUSHOTO KUONA PICHA ZAIDI


 Sehemu ya wanafamilia wakishiriki shughuli hiyo. 

 Mjukuu wa marehemu, ambaye ni motto wa mtangazaji, Taji Liundi, akisoma wasifu wa marehemu. 
 Baadhi ya viongozi wakielekea kutoa heshima za mwisho.
Rais Jakaya Kikwete, akiagana na Makamuwa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif, baada ya shughuli za kuagwa mwili wa marehemu Lindi, zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mmwenyekiti wa Chama cha CUF, Prof Ibrahim Lipumba, baada ya shughuli za kuagwa mwili wa marehemu Lindi, zilizofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, leo. Picha na OMR
 Mke wa Marehemu Mzee Liundi akiweka shada la maua.
 Mtoto mkubwa wa Marehemu JAji George Bakari Liundi, ndg. Taji Liundi na Mkewe wakiweka shada la Maua kwenye Kaburi la Baba yao,wakati wa mazishi yake yaliyofanyika leo kwenye Makaburi ya Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo. 
 Watoto wengine wa Marehemu. 
 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Uratibu na Bunge, Willium Lukuvi akiweka shada la maua kaburini kwa niaba ya Serikali.

 Msajili wa Vyama vya Siasa,Jaji Francis Mutungi akiweka shada la maua kwenye Kaburi la Jaji George Bakari Liundi.

 Mwenyekiti wa Tume ya Katiba,Jaji Joseph Walioba akiweka shada la Maua kaburini.






 Kateksta akiongoza ibada ya maziko ya Jaji George Bakari Liundi yaliyofanyika leo katika makaburi ya Chang'ombe Maduka Mawili jijini Dar es Salaam.
 Waombolezaji waliofika makaburini.
 Mwili wa Marehemu Jaji George Bakari Liundi ukishushwa kaburini.
 Umati wa waombolezaji.
 Kateksta akitia mchanga 
 Mke wa Marehemu George Bakari Liundi akiweka mchanga.
 Mtoto wa Marehemu,aitwae Lulu akiweka mchanga kaburini.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick akiweka mchanga kaburini.
 Viongozi mbali mbali.
 Mh. Lukuvi akiteta jambo na Mh. Sadick wakati wa Mazishi ya Jaji George Liundi.
 Mtoto mkubwa wa Marehemu akiweka msalaba kwenye kaburi la Baba yake.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad