HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 21, 2014

MJENGO HUU UKO SOKONI

Nyumba  hii   ipo katika hali nzuri  na  kuna  wapangaji wanaishi 

Sifa  zake 
Ina vyumba  vitatu  vya kulala ,choo cha  ndani ,stoo,jiko na Sebule kubwa 
Hati  ipo nyumba   ipo na  vielelezo vyote nyeti 

Eneo ambalo  limejengwa ni alisimia 30  ya  uwanja 

 uwanja una  ukubwa wa Skwea mita 525
Maji na umeme  upo 

Barabara inafika hapa nyumbani 
Nyumba  hii  inauzwa  Tsh  milioni 60  maelewano  yapo 

Kwa mawasiliano piga simu namba





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad