Kamera ya Mtaa kwa Mtaa Blog leo imewanasa watoto hawa ambao ni wanafunzi katika Shule ya Msingi Mgulani,wakinywa maji kutoka kwenye bomba mchana wa leo.sasa sijui na wao walichajia kwa kipimo cha ndoo kama ionekanavyo kwenye tangazo hapa ni vipi.
No comments:
Post a Comment