HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 20, 2013

TAPSEA yaendesha mafunzo kwa Makatibu Muhtasi jijini Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Arusha,Mh. John Mongella (wa pili kushoto walioketi) akiwa kwenye picha ya pamoja na Baadhi ya Makatibu Muhtasi wanaohudhuria Mafunzo ya Usimamizi wa Ofisi na Utawala (Advanced Office Management and Administration Skills) yaliyoandaliwa na Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),ambayo yanamalizika leo kwenye Hoteli ya Lush Garden,Jijini Arusha.Wa pili kulia kwa walioketi ni Mwenyekiti wa Chama hicho,Pili Mpenda.
Baadhi ya Makatibu Muhtasi wanaohudhuria Mafunzo ya Usimamizi wa Ofisi na Utawala (Advanced Office Management and Administration Skills) yaliyoandaliwa na Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Chama hicho,Pili Mpenda (wa pili kushoto kwa walioketi) ambayo yanamalizika leo kwenye Hoteli ya Lush Garden,Jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad