Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akizungumza wakati alipokuwa akiongoza harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi Mtandi Masasi, mkoani Mtwara jana. Jumla y Sh103 milioni zilichangishwa kwenye harambee hiyo.
Askofu Msataafu wa Dayosisi ya Mtandi Masasi, Oscar Mnung'u akisalimu waumini.
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Rose Mhando akiimba katika Kanisa Kuu la Anglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi wakati wa harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika kanisani hapo juzi.
waumini wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi wakifatilia kwa umakini harambee hiyo.
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwaaga waumini wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mtandi Masasi baada ya kumaliza kuendesha harambee ya kuchangia maendeleo ya wanawake na watoto iliyofanyika katika Kanisa Kuu la dayosisi hiyo, juzi. Jumla ya Sh103 milioni zilichangishwa katika harambee hiyo.






No comments:
Post a Comment