HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, December 11, 2013

Hotuba ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya PSPF George Yambesi kwa waTanzania Washington DMV

Hotuba ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya PSPF ambaye pia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Manejimenti ya Utumishi wa Umma , George Yembesi alipozungumza na waTanzania waishio Washington DC waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika Laurel Maryland Desemba 7, 2013 kwa uratibu wa blog ya VIJIMAMBO

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad