Washiriki wanaowania taji Tanzania Top model wameingia kambini leo kwa muda wa mwezi mmoja ambapo kambi hiyo imeanza katika Hotel ya JB Belmont kisha kuhamia katika hotel tofautitofauti.
Jumla ya washiriki 20 wameingia kambini hapo wakitokea mikoa tofautitofauti ambapo ulifanyika usaili kuwapa wanamitindo hao.
Mwandaaji wa Tanzania Top Model Jackson Kalikumtima akiongea na wanahabari
Baadhi ya washiriki wa shindano hilo wakiwa wamewasili kambini

No comments:
Post a Comment