HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 30, 2013

Wanakandanda walipokutanishwa na Bonanza Babkubwa leo

Mchezo wa wanakandanda ambao ni Mashabiki wa Yanga na Simba uliofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Muhimbili, ulimalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 5, huku wapinzani wake watani wa jadi Simba wakishinda bao 3 tu!

Mchezo huo ambao ulitanguliwa na Kuwakumbuka wanakandanda ambao wamefariki wakiwa members wa KandandaFB, Kwa muda wa Saa moja hakuna mwanakandana alieposti katika KandandaFB wakati wa kuinamisha vichwa huko.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad