HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 25, 2013

Musoma walipokea vyema Bonanza la Nani Mtani Jembe


Bendi ya Musoma Stars ikitumbuiza katika bonanza la kampeni ya NANI MTANI JEMBE kupitia bia ya Kilimanjaro lililofanyika jana kwenye viwanja vya Shule ya msingi Mkendo mjini Musoma.
Mashabiki wa Timu za Simba na Yanga wakichuana vikali katika mchezo wa mbio za magunia wakati wa muendelezo wa kampeni ya NANI MTANI JEMBE iliyofanyika katika viwanja vya Shule ya msingi Mkendo mjini Musoma leo jana.
Mashabiki wa timu za Yanga na Simba wakipambana katika mchezo wa kuvuta kamba kwenye bonanza la kampeni ya NANI MTANI JEMBE kupitia bia ya Kilimanjaro ambalo limefanyika jana katika viwanja vya Shule ya msingi Mkendo mjini Musoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad