HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 12, 2013

Juma Nature apamba uzinduzi wa chupa mpya ya Kinywaji cha Grand Malt jijini Dar

Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya,Juma Kassim Kiroboto (Juma Nature) akitumbuiza katika tamasha la uzinduzi wa chupa mpya ya kinywaji cha Grandmalt lililofanyika kwenye eneo la wazi la nje ya Uwanja wa Karume,Ilala jijini Dar es Salaam mchana wa leo,ambapo kinywaji hicho kimeanza programu maalum ya kuwawezesha wanafunzi kutumia kama kinywaji rasmi cha wanafunzi.
Kundi zima la TMK Wanaume Halisi chini yake Kibra Juma Kassim Kiroboto a.k.a Juma Natute likitoa burudani katika tamasha la uzinduzi wa chupa mpya ya kinywaji cha Grandmalt lililofanyika kwenye eneo la wazi la nje ya Uwanja wa Karume,Ilala jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Sehemu ya Wakazi wa Jiji la Dar wakifatilia Tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad