Dogo ni kawaida na mazingara kwetu uswazi. Kwanza kauza vya kwake bei poa kuwepo na chakula nyumbani. Sasa anapigana na biashara ya tajiri kama havikuuzika vyote watapigiana mahesabu na tajiri vilivyouzwa atapewa mshiko wake. Je cha ajabu hapo ni nini? Mshikaji ameka sawa anajituma si sawa na kupigwa mawe kwa kupora. Mikidadi-Denmark
Dogo ni kawaida na mazingara kwetu uswazi. Kwanza kauza vya kwake
ReplyDeletebei poa kuwepo na chakula nyumbani. Sasa anapigana na biashara ya tajiri kama havikuuzika vyote watapigiana mahesabu na tajiri vilivyouzwa atapewa mshiko wake. Je cha ajabu hapo ni nini?
Mshikaji ameka sawa anajituma si sawa na kupigwa mawe kwa kupora.
Mikidadi-Denmark