HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 1, 2013

SIKU YA UTALII DUNIANI YENYE KAULI MBIU UTALII NA MAJI YAFANA ZANZIBAR

 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali  Mh. Ali Juma Shamuhuna akifunguwa resi za ngalawa Foroza Mchangani mjini Zanzibar.
 Ngalawa zikionekana kuanza resi hizo siku ya Utalii Duniani .
Mshindi wa mwanzo wa ngalawa ya Lailati Bw Khalidi Khamis akipokea zawadi kwa mgeni rasimi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mh Ali Juma Shamuhuna.
 Mmoja wa watalii akijikuta akiingia katikati ya ngoma za utamaduni baada ya kunogewa na ngoma ya Msewe maarufu kama 'Kibati'  siku ya Utalii Duniani iliyoadhimishwa Zanzibar.
 Ngongoti huyu akiwa mmoja wa kiburudisho katika sherehe hizo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad