HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 11, 2013

Mkutano wa Jumuiya ya Madola waendelea nchini Marekani

Kutoka kushoto ni Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Dkt. Philip Mpango, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Silvacius Likwelile, Kamishna wa Sera Bw. Beda Shallanda na Kamishna wa Fedha za Nje Bw. Said Magonya wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa majadiliano ya mkutano wa madola.
Mwenyekiti wa majadiliano ya mkutano wa Madola Bw. Sheku Sesay akifafanua jambo.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia majadiliano; mwenye tai nyekundu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Silvacius Likwelile.
Ujumbe wa Tanzania ukifuatilia kwa majadiliano ya Jumuiya ya Madola.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad