HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 11, 2013

MAGARI YAKWAMA BARABARA YA MAKETE-NJOMBE ENEO LA MANG'OTO NA KULETA ADHA KUBWA KWA WATUMIAJI WA BARABARA HIYO

Watumiaji wa barabara kuu ya Makete-Njombe eneo la Mang'oto wilayani Makete mkoani Njombe, hawatausahau usiku wa kuamkia leo Ijumaa baada ya mawasiliano ya barabara hiyo kukatika kwa masaa zaidi ya12 kutokana na mvua iliyonyesha eneo hilo lililolundikwa vifusi, huku wengine wakihofiwa kulala eneo hilo

Mvua hiyo ilisababisha barabara hiyo kufungwa kwa saa kadhaa kutokana na malori na mabasi ya abiria kukwama kutokana na eneo hilo kugeuka tope

Tazama picha za tukio hilo, na habari kamili itakujia muda si mrefu kutoka kwa mwandishi wetu aliyeko eneo la tukio tangu jana usiku
 Lori la kampuni ya pepsi ni mojawapo ya magari yaliyokwama eneo hilo la Mang'oto

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad