Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akiongea na wafanyakazi wa TBL Mwanza katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
Makamu
mwenyekiti wa Simba, Joseph Itangare maarufu kama Mzee Kinesi akiongea
na wafanyakazi wa TBL Mwanza katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni
ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa
utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo
itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa
miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
Mjumbe
wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Mohammed Bhinda akiongea na wafanyakazi
wa TBL Mwanza katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani
Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini
Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki
wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio
mbalimbali.
Mashabiki wa Simba na Yanga ambao ni wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kiwanda cha Mwanza wakishiriki kuvuta kamba katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
Mfanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kiwanda cha Mwanza, Elipidius Benedicto akishiriki katika shindano la kupiga danadana katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
Mfanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kiwanda cha Mwanza, Eric Manyirizu akishiriki katika shindano la kupiga danadana katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
Wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kiwanda cha Mwanza wakicheza fussball katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
nyakazi wa TBL Mwanza ambaye ni shabiki wa Yanga akishiriki kupiga vuvuzela katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.





No comments:
Post a Comment