HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 29, 2013

MAMA SALMA KIKWETE APEWA URAIA WA HIARI WA JIMBO LA NEBRASKA NCHINI MAREKANI

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea hati ya uraia wa hiari wa Jimbo la Nebraska nchini Marekani iliyotolewa na Secretary of State wa Jimbo hilo Bwana John Gale. Anayekabidhi hati hiyo kwa Mama Salma ni Dkt. Marjorie Kastelnik, Dean, College of Education and Human sciences wa Chuo Kikuu cha Nebraska nchini Marekani tarehe 28.9.2013.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, (WAMA), Mama Salma Kikwete akitoa keynote address kwenye' workshop on Viewing English Education through a Globalized Lens' iliyofanyika kwenye Chuo Kikuu cha Nebraska huko nchini Marekani tarehe 28.9.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Dr. Dzingai Mutumbuka, Chairman of the Association for the Development of Education in Afrika and Former Minister of Education in Zimbabwe mara baada ya Mama Salma kuhutubia mkutano Global Education huko Nebraska nchini Marekani tarehe 28.9.2013.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA, Mama Salma Kikwete akipokewa na Mke wa Gavana wa Jimbo la Nebraska Mama Sally Ganem. 
Mke wa Gavana wa Jimbo la Nebraska Mama Sally Ganem akifanya mazungumzo na mgeni wake Mama Salma Kikwete alieambatana na Balozi wa Tanzania Nchini Marekani,Mh. Liberata Mulamula.
Mke wa Gavana wa Jimbo la Nebraska Mama Sally Ganem akiagana na mgeni wake Mama Salma Kikwete.PICHA NA JOHN LUKUWI.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad