HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 1, 2013

TIGO YAENDELEA KUMWAGA BAJAJ KWA WATEJA WAO,WANAWAKE WAWILI WABAHATIKA PIA

Mkazi wa Mabibo Khalid Jafari Gomani akikagua Bajaji mpya aliyojishindia kupitia Promosheni ya Miliki Biashara yako na Tigo ambapo washindi wa wiki ya pili ya wamekabidhiwa zawadi zao jana Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Chapa wa Tigo Wiliam Mpinga.
Mkazi wa Makumbusho Isabela Edwad Msemo akipokea funguo ya Bajaji akiwa mwenye furaha kutoka kwa Meneja Chapa wa Tigo, Wiliam Mpinga mara baada ya kujishindia kupitia Promosheni ya Miliki Biashara yako na Tigo ambapo washindi wa wiki ya pili wamekabidhiwa zawadi zao jana Jijini Dar es Salaam.
Evelyn Elisalia Massawe-(22) Mkazi wa Kimara akishuka ndani ya bajaji yake aliyokabidhiwa na Tigo baada ya kujishindia kupitia Promosheni ya Miliki Biashara yako na Tigo, kushoto ni Meneja Chapa wa Tigo Wiliam Mpinga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad