HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 2, 2013

TIB Development Bank yadhamini Maonyesho ya NaneNane,Mkoani Dodoma

Maonyesho ya 20 ya Siku ya Wakulima Tanzania (NaneNane) yameanza rasmi jana Agosti 1 katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma.Maonyesho hayo ambayo yapo chini ya Udhamini Mkubwa wa TIB Development Bank,yanaendelea kwa kasi mpaka hapo itakapofikia kilele chake Agosti 8,2013.
Sehemu ya Ngoma za asili zikiendelea kutumbuiza katika ugunguzi wa Maonyesho hayo ya 20 ya Siku ya Wakulima Tanzania (NaneNane) yanayoendelea kwenye viwanja Nzuguni mjini Dodoma.
Baadhi ya Wageni na Viongozi wakifatilia Burudani hiyo ya ngoma.
Muonekano wa Jengo la Mdhamini Mkuu wa Maonyesho hayo mwaka huu wa 2013.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad