HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 30, 2013

Ujumbe wa Benki ya CRDB wakutana na Dk.Shein,Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya CRDB Dk.Charles Kimei,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Ujumbe wa Benki ya CRDB,ukiongozwa na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Dk.Charles Kimei,(wa pili kulia) alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad