HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, July 13, 2013

TAIFA STARS YASHINDWA KUTAMBA UWANJA WA NYUMBANI,YALALA KWA BAO 1-0 DHIDI YA UGANDA

 Mshambuliaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars),John Boko (14) akiwa na mpira mbele ya Beki wa timu ya Uganda ( The Cranes) katika mchezo wa kuwania tiketi ya kucheza Kombe la mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN),uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imekubali kipigo cha Bao 1-0 kutoka kwa Uganda.
 John Boko akiondoka na mpira kuelekea langoni mwa timu ya Uganda.
 hapa hapiti mtu .....
 Mrisho Ngassa akitaka kuwatoka Mabeki wa Uganda wakati wa mchezo wa kuwania tiketi ya kucheza Kombe la mashindano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN),uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Taifa Stars imekubali kipigo cha Bao 1-0 kutoka kwa Uganda.

PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad