HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 26, 2013

TAARIFA YA MSIBA

Familia ya Mzee Ndalu inasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa Erick Meshack Ndalu kilichotokea nyumbani kwao Tabata tarehe 24/7/2013 saa 5 usiku, habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa marehemu popote pale walipo.

 Mazishi yanategemea kufanyika kesho siku ya Jumamosi tarehe 27/7/2013 katika makaburi ya kinondoni saa 10 jioni.

Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Amen

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad