HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 16, 2013

SONGEA MAMBO YAKO MSWANO SANA

Ni watiifu sana na wafuatiliaji wazuri wa Sheria,kama ionekanavyo picha hii.
huku Songea kuna Magari Mengine bado Usajili wake ni TZ kama ilivyokuwa enzi zile,na hakuna noma wala nini.

Hapa ndipo lilipo Soko Kuu la Mji huu wa Songea.
Usafiri.
Nakata Mitaa ya Songea Mieeeee......
Hata Bonge wa Power BreakFast ya Clouds Fm nae yupo huku Songea.

2 comments:

  1. Michuzi, kama ungeniletea picha za Songea Boys, basi ningefurahi sana!

    ReplyDelete

Post Bottom Ad