HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 24, 2013

Naibu waziri wa Maji atembelea vyanzo vya maji vya MUWSA

Naibu waziri wa maji Dk Mahenge akiangalia na kupokea maelezo toka kwa wafanyakazi wa MUWSA katika chanzo cha maji cha Nsere mkoani Kilimanjaro.
Chumba maalumu kwa ajili ya matibabu ya maji katika chanzo cha maji cha Nsere mkoani Kilimanjaro.
Naibu waziri wa maji Dk Mahenge akiangalia na kupokea maelezo toka kwa wafanyakazi wa MUWSA katika mradi wa kisima cha maji kinachochimbwa katika eneo la Longuo manispaa ya Moshi.
Mitambo ya kuchimbia kisima katika eneo la Longuo mradi unaosimamiwa na mamlaka ya maji sai na usafi wa mazingira mjini Moshi( MUWSA).Picha na Dixon Busagaga,Moshi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad