Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya UraniumOne ambao ni Wamiliki pia wa Mantra Tanzania,Chris Sattler akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Mambo mbali mbali yanayohusu Mradi wa Mgodi wa Madini ya aina ya Uraniaum,unaotaraji kuanza kujengwa baada ya taratibu zote kukamilika.Mgodi huo upo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Selou, Mkuju Wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma.
CHINI MAELEZO YA KUYAFAHAMU MADINI YA URANIUM


No comments:
Post a Comment