HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 15, 2013

MAMBO YA BODA BODA MJINI SONGEA HAYOOOO.....

 Hapa sio kama wako kwenye msafara,bali ni kila mmoja na safari yake.
 Kwani nani kasema Ndoo haiwezi kukaa mbele ya Dereva wa Boda Boda?
 Wanajaza kiwese hapo,wakiingia barabarani jipangeeee.
 Pozi kijiweni.
 kwani watufiki??
 Kama kawa kama dawa...
Kamshkaki ka kiaina.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad