HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 30, 2013

Kutana na waTanzania wanaomiliki Chuo cha Uuguzi Kansas City nchini Marekani

Karibu katika mahojiano baina ya Jamii Production na waTanzania wanaomiliki Chuo cha Uuguzi cha Kansas Ndg Michael Katunzi na Ndg Robert Otto. Katika mahojiano haya, wanaeleza mambo mbalimbali ikiwemo walipopata na walivyopata wazo la kuanzisha chuo hiki, walivyoanzisha na walipo hivi sasa, changamoto walizokutana nazo kuanzia kuanzisha mpaka kilipo sasa, mafanikio yao na ya chuo chao pamoja na mipango yao juu ya chuo hicho kilicho katika nafasi za juu miongoni mwa vyuo vya uuguzi jimboni humo. Karibu uungane nasi


Wanafunzi wa Chuo cha Uuguzi cha  Kansas College of Nursing wakiwa darasani 

Wafanyakazi wa Kansas College of Nursing 

Wanafunzi wa Kansas College of Nursing

Wanafunzi wa Kansas College of Nursing
Mahojiano baina ya Jamii Production na waTanzania wanaomiliki Chuo cha Uuguzi cha Kansas Ndg Michael Katunzi na Ndg Robert Otto.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad