HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 1, 2013

Kilimo Kwanza kimeegeshwa

Kama umepita Barabara ya Mandera Rodi hivi karibuni,basi ni lazima utakuwa umeziona mashine hizi a.k.a Kilimo Kwanza zikiwa zimeegeshwa pembeni ya kituo kimoja cha mafuta pale kona ya Tabata relini jijini Dar.sasa sijui kulikoni yako hapa na si kule mashambani?

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad