HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 26, 2013

Tamasha la Tigo Mini Kabaang kufanyika jijini Mwanza

Meneja chapa ya Tigo Tanzania bw. William Mpinga akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamasha kubwa la Tigo Mini Kabaang litakalofanyika siku ya jumapili viwanja vya Kirumba mjini Mwanza, kushoto msanii Diamond Platnumz na kulia msanii Madee ambao watatoa shoo siku hiyo na wasanii wengine.
Msanii wa bongo flava Diamond Platnumz akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu tamasha kubwa la Tigo Mini Kabaang litalofanyika mjini Mwanza siku ya jumapili pembeni yake meneja chapa ya TigoTanzania bw. William Mpinga.
Msanii Richie Mavoko akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu tamasha kubwa la Tigo Mini Kabaang litalofanyika mjini Mwanza siku ya jumapili kulia kwake ni Msanii Madee, meneja wa Tigo Bw. William Mpinga na Diamond Platnumz.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad