HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 22, 2013

tamasha la siku ya muziki duniani lafanyika kijitonyama jijini Dar

 Super Maya Baikoko kutoka Tanga wakifanya vitu vyao kwenye tamasha la siku ya muziki duniani lilifonyika jana kwenye viwanja vya posta Kijitonyama Dar es Salaam
 Mratibu wa Utamaduni wa Goethe Institut-Tanzania, Daniel Semheho (kulia) akiteja jambo na kiongozi wa kundi la Super Maya Baikoko Juma Nassoro (kushoto) katikati ni Mzungu Kichaa.
 Godzila
 Ben Paul
 Sarakasi pia zilikuwepo, kutoka makini kids
 Msanii Nyemo
 Barnaba na bendi yake
 Jhiko Man
Kala Jeremiah

Tamasha hilo liliandaliwa na umoja wa ulaya wa taasisi za utamaduni (EUNIC) na kudhaminiwa na Fastjet, Pepsi, Total na balozi za Ujerumani na Ufaransa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad